Apps by Oleg Shukalovich
Biblia Takatifu-Swahili Bible app icon

Book

Biblia Takatifu-Swahili Bible

Oleg Shukalovich

Free 4.83 · 1 storefront · 692 ratings No in-app purchases
Open on Apple

About this app

Biblia Takatifu ya Kiswahili (Swahili Bible) with King James Bible English Version Biblia ya Kikristo ni mkusanyo wa maandiko matakatifu ya Ukristo. Maandiko hayo mbalimbali yanaitwa tangu zamani sana "vitabu" tu, inavyomaanishwa na neno "biblia" ambalo ni uwingi wa neno la Kigiriki "biblos" yaani "kitabu". Hutofautishwa na Tanakh ambayo ndiyo maandiko matakatifu ya dini ya Uyahudi na ambayo pengine inatajwa kwa jina lilelile la "Biblia", hasa katika matoleo ya Biblia ya Kiebrania . Vitabu vyake vimo katika sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo kwa jina la "Agano la Kale". Biblia ya Kikristo hugawiwa sehemu mbili ambayo ni Agano la Kale na Agano Jipya. Agano la Kale lina maandiko yaliyoandikwa kabla ya Yesu Kristo na vitabu vya Agano Jipya viliandikwa baada yake. Agano la Kale Kimsingi vitabu vya Agano la Kale ni vilevile vya Biblia ya Kiebrania, ingawa madhehebu ya Kikristo hutofautiana kidogo katika hilo. Ni kwamba wakati wa kutokea kwa Ukristo palikuwa na tofauti ndani ya Uyahudi kuhusu vitabu vilivyohesabiwa kuwa maandiko matakatifu. Suala hilo liliondolewa kuanzia mwaka 80 BK wataalamu wa Wayahudi wa huko Jabneh (Jamnia) walipochukua msimamo mkali dhidi ya wafuasi wa Yesu. Kwa wakati huo Wakristo walikuwa wamezoea tayari toleo la Kigiriki la maandiko matakatifu yaliyotafsiriwa katika karne ya 2 KK ambalo linajulikana kwa jina la Septuaginta na kuwa na vitabu kadhaa visivyokuwa vimetunzwa katika lugha asili ya Kiebrania wala ya Kiaramu, au vilivyoandikwa moja kwa moja katika lugha ya Kigiriki. Hivyo Biblia ya Kikristo ilikuwa na vitabu 7 (viwili vya Wamakabayo, Yoshua bin Sira, Hekima, Tobiti, Yudith na Baruku, pamoja na sehemu za Esta na Danieli) visivyokubaliwa baadaye na Wayahudi. Vitabu hivyo 7 vikaja kukataliwa na Martin Luther katika karne ya 16, halafu na Waprotestanti wengi, lakini vinazidi kutumiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kwa jina la Deuterokanoni. Agano Jipya Kuna vitabu 27 vya Agano Jipya. Vinne vya kwanza ni Injili nne zinazoleta habari za maisha, matendo na maneno ya Yesu. Vingine ni Matendo ya Mitume, Nyaraka za Mitume, hasa Mtume Paulo, na Ufunuo wa Yohane.

Latest release

What’s New

Version 3.1 Jan 30, 2023

Bug fixes and performance improvements

Audience growth

Ratings growth

Steady
7-day gain +0
Ratings / day 0.0
30-day gain +0
US rating-count history
692 ratings
692 Aug 11, 2026 · 692 ratings Aug 11, 2026

Baseline captured. Growth appears after the crawler observes a changed rating count.

Momentum comes from crawler snapshots for the tracked storefront. “Viral growth signal” means unusually fast recent rating gains; it is an indicator, not download data.

Price tracking

Price intelligence

1 captured event
Current Free
Historical low Free
Paid → free
Price history
Current Free
Free Aug 11, 2026 · Free Aug 15, 2026 · Free Aug 11, 2026 Aug 15, 2026
  1. First observed Aug 11, 2026 · 11:53 AM Free

Screenshots

Biblia Takatifu-Swahili Bible iPhone screenshotBiblia Takatifu-Swahili Bible iPhone screenshotBiblia Takatifu-Swahili Bible iPhone screenshotBiblia Takatifu-Swahili Bible iPhone screenshot Biblia Takatifu-Swahili Bible iPad screenshotBiblia Takatifu-Swahili Bible iPad screenshotBiblia Takatifu-Swahili Bible iPad screenshotBiblia Takatifu-Swahili Bible iPad screenshot